Bongo FM - 2025-12-19T15:00:00.517Z
Bongo FM
Dar es Salaam
Transcription
Now, in the midst of my battle, all hope was gone.
Downtown in a rushed crowd and felt all alone.
Every now and then I felt I would lose my mind.
I've been racing for years and still no finish line.
Oh, but then I climbed the hills and saw the mountains.
None.
The.
Karibu kwenye dunia mpya peter ndani ya ufaidi.
Mara kubwa ya kisport yanapewa ujazo wa aina yake kwenye sports venue ya bongo fm.
Bunge kokote ulimwenguni tunagusa michezo mbalimbali mkazi mtu akaacha mbusi majibu na maswali kwenye eneo hili sports venue.
Hatimaye imefika ijumaa nyingine ya tarehe 19 mwezi wa 12 mwaka 2025 upande wa muda tayari ni 12:02 saa za Afrika Mashariki na nyumbani nchini Tanzania.
Siku nyingine bora sana mwanamichezo siku nyingine nzuri sana ambayo tunakutana katika kutafuna taarifa mbalimbali za michezo kutoka nyumbani nchini Tanzania na baadaye kwenda katika uga wa kimataifa kupapasa ya kimichezo ambayo yamekuwa makubwa zaidi na zaidi, lakini nilikuambia kwamba kama kawaida maelekezo ya mshua yamenyooka kweli kweli? Anakuambia leo wanaanza tena majira ya 12:30 kunako watu 30 na watano na kila mmoja akimpatia pesa shilingi laki 1 kutoka pale kwake droo zile za bonus ya kutosha kuanzia shilingi 20,000 shilingi 2000 shilingi 5000 shilingi 10,000 zote zitakua zikiingia katika simu yako muda wowote ule ambao utakuwa tayari umekwisha kushiriki fanya hivyo kutoka pale kuamshwa ili mradi mambo yaweze kwenda vizuri zaidi na zaidi lakini hizi ni dakika 120 za moto 02:00 za nguvu ambazo tunatafuta taarifa za michezo.
Na tumejawa na taarifa nyingi kwelikweli chache kati ya yale mengi ambayo tuko nayo hapa ni kutoka pale unyamani kwa mnyama mkali.
Simba ambaye leo rasmi amemtambulisha kocha wao mpya mkuu ambaye atakinoa kikosi hiko kuanzia wakati huu na kuelekea katika michezo inayokuja niko chagan huyo anatokea timu gani huyo lakini historia yake ikoje huyo tutakuja kujadili hapa vizuri zaidi na zaidi lakini pia leo walikuwa na mkutano wao utatupa jicho huko na kuweza kuona kile ambacho kilikuwepo tunayo taarifa kuhusiana na timu ya taifa ya Tanzania taifa stars.
Kimetua na kukanyaga katika ardhi ya pale casablanca, Morocco ikiwa wako tayari kabisa kwa ajili ya michuano ile ya afcon mwaka 2025.
Wakianza dhidi ya timu ya taifa ya Nigeria tutakuja kuangaza pia taarifa inayohusu michuano ya mapinduzi cup mwaka 2026 ambayo inakuwa na kuanza siku chache kutoka hivi sasa ratiba yao iko hapa nani anacheza na nani simba na yanga kulikoni huko? Mbona kama zimekopesha na kuja kuangalia vizuri kabisa hapo tunayo na taarifa pia kuhusiana na tetesi mbalimbali za usajili? Huyu anakwenda kule na huyo anakuja huku yote hayo itakuja kuijadili kwa kina kwelikweli tutakwenda katika uga wa kimataifa tukianzia kunako bara la Afrika na kubwa zaidi leo tunaliangazia kundi f la michuano ya afcon ya kuangalia miamba hii ikoje na inasema nini kuelekea katika michuano hiyo lakini pia utasikia taarifa pia kutoka kule barani ulaya kuhusiana na mwendelezo wa ligi mbalimbali la liga santandere.pl wa yote hayo yatapita huko kunako masumbwi pia na kuja kusikia vizuri kwelikweli hapa nini hasa ambacho kimejiri hayo ni machache tu.
Kati yale mengi kwelikweli ambayo tume ya fumbata na utapata nafasi ya kuja kuyasikia vizuri zaidi na zaidi, lakini nikutoe shaka msikilizaji nikuambie kwamba timu nzima ya sports venu iko hapa niko tayari kabisa katika kuhakikisha kwamba unapata chakula bora cha kimichezo yuko hapa ali Mohammed luambano yuko pia nira juma na amina lango ni the former superstar issa Suleiman naita nyota wa zamani wote tuko tayari katika kuhakikisha kwamba unafurahi na kupata chakula bora cha kimichezo jioni ya hii leo.
Lakini maelekezo ya mshua yamenyooka kweli kweli ni wewe tu kuyasikiliza na ukaweza kufanya kile ambacho pengine mshua amekuelekeza leo kama kawaida tunaanza majira ya 01:00 12:30 ambako kuna shilingi laki 1.
Na hii inakwenda kutoka kwa watu 30 na watano tofauti kama itakuwa unatumia vodacom naenda tu pale ukabonyeza nyota 150 nyota 0 0 alama ya reli chagua namba 4 lipa kwa m-pesa chagua namba 4 kisha weka namba ya kampuni ambayo ni 553111 namba kumbukumbu ni 3 3 3 maneno bongo kiasi buku na ambako ya siri hapo itakuwa tayari umeruhusu mola wako uweze kutoka kuna wale ambao wanatumia yasi bonyeza nyota 150 nyota 0 1 alama ya reli chagua namba.
4 lipia bili chagua namba 3 kisha weka namba ya kampuni ambayo ni 553111 namba kumbukumbu ni 3 3 3 maneno bongo kiasi ni buku namba yako ya siri hapo itakuwa tayari umekwisha kucheza kuna wale ambao wanatumia airtel ni jambo rahisi kweli kweli bonyeza nyota 150 nyota 60 alama ya reli chagua namba 5 lipia bili chagua namba 4 kisha weka namba ya kampuni ambayo ni 553111 namba kumbukumbu ni 3 3 3 wa maneno bongo kiasi ni buku namba yako ya siri hapo tutakuwa tayari umecheza.
Halafu subiri tu kuona namna ambavyo unaweza kuwa miongoni mwa wale washindi kuanzia wakati huu mpaka pale baadaye kuna wale pia wa halotel lee bonyeza nyota 150 nyota 8 8 alama ya reli chagua namba 4 lipia bili chagua namba 3 kisha weka namba ya kampuni ambayo ni 553111 ambako bukumbu ni 3 3 3 maneno bongo kiasi buku ambako ya siri hapo itakuwa tayari umeruhusu.
Mwamala wako uweze kutoka vile ambavyo tunacheza mara nyingi unajiongezea nafasi ya kuwa miongoni mwa wale washindi, lakini usisahau ya kwamba mshua ametamani kumaliza mwaka huu kibabe kwelikweli, lakini pia pesa nyingi sana ambazo wanazitoa sisahau ya kwamba mshua anaamini ya hiki ni kipindi cha kugawana na kuhakikisha kwamba sikukuu zako zinakuwa njema sana kutoka pale kwako wewe kumbuka kwamba unaweza kufuatilia duniani kote kupitia redio box na radio garden kutosikiliza huko vizuri kwelikweli, lakini unaweza ukaenda pia katika peji mama bongo tz.
Instagram na kuandika chochote lolote nasi tutakuwa tukipitia na kuangalia kile ambacho uko nacho pale whatsapp Channel tunapatikana kama bongo fm dunia mpya wewe nenda tu huko utatukuta na itakuwa vyema kwelikweli unaweza ukapita katika peji ya mtu binafsi kama ile ya luambano wanasota mkuta huko ali Mohammed luambano lakini unaweza ukapita pale kuwa ni r and asco juma utamkuta huko nira juma nami binafsi nifuate kama issa Suleiman tutakuwa na mambo mengi sana ya kuyazungumza kwa moyo mkunjufu uliojaa upendo ndani yake.
Karibu sana mwanamichezo.
Kabuga kipute wengi kokote ulimwenguni tunagusa michezo mbalimbali kutoka mkazi mtu akaacha mbusi, majibu na maswali kwenye eneo hili.
Sports ventures.
Bila kuwa na mipaka wala dunia mpya bongo fm tunakutakia heri ya sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya.
America.
Mohammed.
There's some your money.
Yeah, yeah.
What? Kutoka kwa.
Kwenye kila mechi.
Muda wa mapumziko naam na baada ya muda mbunge kuisha watu 20 watashinda tena 50,050 ushindi home na kupurura pesa kutoka kwa mshua kipindi hiki cha afcon kuvua nguo mengi ya malipo ya simu yako tuma kiasi shilingi 1000 kwenda namba ya kampuni 553111 huku kumwomba 3.