Jambo FM Tanzania - 2025-10-17T08:00:00.572Z
Jambo FM Tanzania
Shinyanga
Transcription
Karibu kwenye ofisi ya maisha yako hii mbele yako ni fomu ya mafanikio tafadhali tusaidiane kuijaza jina lako subiri kwanza mimi sijui hata nianzie wangu anzia ulipo simu yako ni chombo cha biashara, elimu na fursa.
Sawa sehemu ya pili kipaji chako naweza kutengeneza mavazi mazuri, lakini tatizo soko ndugu yangu tumia yas tupia dizaini zako mtandaoni upate wateja nchi nzima kama sio dunia nzima kipengele cha mwisho tunahitaji saini yako kuthibitisha kuwa uko tayari kuanzia ulipo mafanikio hayamsubiri mtu mtandao wa yas unakupa vifaa huduma na intaneti ya OG na five g lenye casine iliyoenea kila kona ya Tanzania kukusaidia kufikia malengo yako hujui pakuanzia.
Inaanzia ulipo jiunge dias leo na uanze safari ya kuyafikia mafanikio.
Si tumetokea nyumbani uswazi ukichelewa kurudi unacheza ya kichapo sisi umetokea nyumbani uswazi ukichelewa kurudi unachezea kichafu ukifanya kosa dogo uko mzima anakuwekea kitako ukifanya kosa dogo ukoo mzima wanakuwekea kitako achana anaunga lobo wa kupima mboga za manati na msosi wa chabo achana na unga 1/4 wa kupima mboga za manati na msosi wa chabo.
Kama wewe ni kijana mpambanaji hasla kutoka street mjasiriamali hii inakuhusu bando la jamii Festival endelea kusikiliza jambo fm.
Five naam ni ndoto ya kila Mtanzania kufanya maamuzi sahihi kila kitu kiko sawa mahali italipia mimi kama kiongozi wako katika msimu huu wa uchaguzi tunachagua viongozi bora kwa ajili ya maendeleo ya jamii yetu na taifa letu kwa ujumla.
Vivyo hivyo katika maisha yetu ya kila siku tunachagua bidhaa bora kwa ajili ya afya na ustawi wa familia zetu bidhaa za jambo bidhaa Jamhuri ya ndio chaguo pekee la uhakika iwe ni maji safi kwa ajili ya afya ya kila siku, vitafunwa vya familia aiskrimu kwa marafiki, pipi kwa watoto soda, juisi au biskuti chagua bidhaa za jambo bidhaa zenye kuaminika na zenye ubora unaokidhi viwango vya kimataifa jambo kwa kila bidhaa ya jambo unayoinunua dukani na kuitumia.
Ni kuchangia uchumi wa nchi ni kuwa sehemu ya ustawi wa jamii ni kufanya uchaguzi wa busara utakaoleta matokeo chanya kwenye familia yako taifa lako na afya yako chagua ubora chagua viwango, chagua maendeleo chagua jambo.
Jambo ahah mahangi mtaalamu nami nimekuja mwanangu karibu wa shehe nikupe nini mangi hata mimi nataka mtoto wa kiume nyoosha maelezo wananitaka kurarua allah ana mangio sijui nimedata bwana nasi kama ulivyoapa wengine kama unataka nini bangi na mimi nataka kampuni yetu ishini kama biashara yako siri nini allah ulikuwa wapi muda wote kuelezea hivyo tunazungushana hapa siri ni kuchagua jambo fm na sasa hivi nateleza tu na dirisha kitonga waliotii ki kwa jambo fm wanaendelea kula mema ya.
Nchi kwa kutangaza biashara zao, nasi kwa bei nafuu na hivi sasa tunaitambulisha kwako huduma ya dirisha kitonga.
Ndio ni dirisha mahsusi kwa taasisi kama vyuo shule na kampuni au taasisi za kilimo kuwafikia watu wengi zaidi kwa kutangaza na jambo fm ili kunufaika na huduma ya dirisha kitonga, hatua ya kwanza andaa ujumbe wako au tangazo lako lisilozidi sekunde 60 kisha awasiliana na wahudumu wetu kwa nambari 0753200012 na 0652648 ya 1, 1 8 na baada ya hapo tukutane mjini taasisi shule chuo.
Au kampuni yako ikishaiva kwa kuwafikia watu wengi zaidi kazi ni kwako kuichagua jambo na uendelee kuteleza na dirisha kitonga simple tu.
Mangie asante ngoja na mimi nikawahi kuteleza na dirisha kitonga.
Bado naikumbuka ile siku uliyozaliwa.
Pumzi yako ya kwanza tulipo hesabu mapigo yako kuanzia 1 hadi 7 sikiliza moyo.
Ndiye Tanzania kuilinda nitakutunza kwa gharama hiyo yeye.
Chagua amani kwa maisha ya fresh kila siku kwa maisha ya fresh kila siku.
Mapigo 7 ya moyo Tanzania chagua amani kwa maisha fresh kila siku.
Ila bunge ya Billboard kazi yangu kubwa ni kupiga mbizi mpaka kina cha Kilindi huku Biblia mchongo wa taarifa na uhakika na muda huu ndio nimeibuka niite mzamiaji.
Bila mboya bila hodi ni ndugu mzamiaji yusufu magupa leo na kusimulia kuhusiana na mashine ya maendeleo ni mwangaza wa matumaini ni salum hamisi salum akitikisa jukwaa la siasa meatu akinadi ilani ya chama cha mapinduzi huku akieleza kuwa msimamo wa kifalsafa dira yake ya uongozi.
Safari hii jambo analeta kilomita 10.
Asante.
Tutaandika lami mpaka kule makaburini tutaweka lami.
Anaposema meatu mpya inawezekana umma hauzimiki meatu unaposikia sauti ya salum khamis ni kama imepata lulu ya thamani inayoridhisha kote la heshima na kuiweka meatu kwenye ramani ya maendeleo ya Tanzania na Afrika nzima, wana ccm na viongozi wa juu wa chama cha mapinduzi wanaona wamecheza karata ya busara wakimpa imani yao.
Mtu mwenye dira na sauti ya kuamsha taifa nataka tuhakikishe tumekwenda kwenye mji mdogo twende kwenye mji kamili.
Hata aliyekuwa mpinzani wake kwenye kura za maoni ndugu machibya ameonyesha ukomavu wa kisiasa na moyo wa mshikamano kwa kuungana naye kwa dhati kulicheza gwaride la muamko mpya linaloendeshwa na salum hamisi salum jimbo la meatu limekumbwa na changamoto sugu ukame ardhi inayowanyima furaha kwa adha ya kukosa maji ya kutosha na watu ndio wilaya na jimbo ambalo lina shida ya maji kuliko majimbo yote ya mkoa huu wa Simiyu wanyama pori.
Matembo wanaingia katika makazi yao na kuzua kadhia ngumu kilimo cha pamba kinacho kukumbana na mazingira yasiyo rafiki katika kukiendeleza na miundombinu duni sisi kilio chetu kikubwa hapa ni barabara kutoka Singida na kutu koneti na njia ya Arusha kuelekea habari yake, lakini salum hamisi salum anakuja kama jibu mwenye maono mipango na mtazamo wa kuinua hadhi ya meatu huyu ndiye salumu hamisi salum.
Mwana meatu mpya wa maendeleo na falsafa hai ya mabadiliko anakuja kuivika meatu kote la heshima na kuiweka katika ngazi ya juu ya Afrika.
Naam mimi ni mzamiaji yusuf magupa.
Huo ndio mchango niliokutana nao kwenye kila cha Kilindi.
Nadhania tena nikiibuka mna jipya.
Tanzania.
Kutoka milima Pwani tunasimama vijana wa leo tukitambua amani ndoto zetu ziwe.
Uaminifu.
1.