96.9 Afya Radio - 2025-10-17T13:00:00.658Z
96.9 Afya Radio
Mwanza
Significant Highlights
2 HighlightsThese are the most relevant segments extracted from this record based on semantic analysis.
Transcription
The.
I never change.
One time right here, right here.
Feel free to the wall, to the wall, and this is how we party everything.
Hey, hey, hey, lonely Friday man.
And guess what's cost about the Friday Victor Vico S Vico When you're level fly near Usana.
Ni esther s the block ni tofauti kabisa ya red now party General yuko hapa yaani jinsi ambavyo maisha yanaenda hop kwenye risala pili tulikuwa tunawaomba app hapa kwenye risala 3 baadaye ndio itakuwa baraka kabisa sylvia to the world and.
Vibes had a name.
Should be CLV.
Any symbol of vibes.
Same when back on the Vibe.
Essence kitofu na unainjoy cheers kwako ambayo mechi zako maskani umechill zako kwenye miji stoni ni poa kabisa lakini kibingwa zaidi kwako mbaya.
Umeichagua afya redio mida hii na umeichagua kuwa redio yako ya kusikiliza life time itakuwa ni mzuka kinoma baadaye kwenye Instagram tunaotumia kama afya fm lakini pia unaweza kufuata kupitia youtube pale kwa subscribe kupitia chaneli yetu ambayo inapatikana pale anaenda fm digital lakini usisahau pia tusikilize popote ulipo duniani kupitia www.dot africa radio dot co dot tz n ukiachilia mbali kitu hiyo unaweza kusikiliza kupitia radio box radio garden sasa je? Kinachofuata juu ya spika swali kwako ni info sahihi cultures na tunaye hapa ripoti wa azam abubakar west anasababisha kwa herufi kubwa sana.
So tuzingatie na tukae hapa hot stories za bongo flava bongo fleva kama hizi tulikuwa lebo 1 kuna tofauti nyingi ambazo zilitokea mimi na yeye mimi na walio sio kujuana tu sisi ni ndugu kabisa alitunga hilo jina ilikuwa quick racka lakini yeye according to yeye mwenyewe alisema kwamba alilipata kwa nario mwanaye ni mwanamuziki mwenzetu na anaujua ugumu wa kupata.
Asante nakupeleka haya.
Kwenye info za headquarters.
Yeah.
Of course, near Friday.
A ina helikopta za info za burudani hizi hapa na ripoti kubwa zilizofanya vizuri na of course tunao tegeta kids ambao timu yao ni kama hii hapa ya kushinda baada ya kuonekana kwenye video ya nani brand new video ambayo inafanya vizuri kisasa kwenye mtandao wa youtube ya Diamond Platnumz bosi kutoka wcb kulala kama umetazama of course mazingira ya shule shule kuna watoto wa wanafunzi ambao wameonekana sana na hawa wanaitwa tegeta kids ambao wanasema wao ndio watu wa kwanza kumkontrol Diamond kufanya nao Project na mshikaji akaona sio kesi.
By the way hata nifanye nao kazi kwa sababu.
Ni vijana wanazitafuta ata nitoe mashavu wamemuomba Diamond kuwasaidia nyumba ya kuishi pamoja kwa sababu wanakaa maeneo tofauti na nitamu ya wao.
Kuna timu inakuwa ngumu wao kukutana pamoja kufanya reysol kwa ajili ya kazi zao lakini kama wakipatiwa nyumba kukaa pamoja basi itakuwa rahisi wao kuweza kufanya Project zao.
As you Diamond nilimcheki nyie au yendo aliwacheka nyie sisi ndio tunaanza kumtaka kumwomba support naam ni mwenyewe sisi gani kumtafuta Diamond? Nikimshawishi kufanya video video zake nzuri unatengeneza content pia naona dm alikuwa akipata nafasi anajibu kwa hiyo nahisi wakati ukafika nasi mwenyewe anasema wakati ukifika wakati ukifika basi tukafanya na.
Na sony wenyewe mkamtafute sasa lakini mwisho kwenye programu za video madaraka ya walitafuta sisi.
Upokee naamini baada ya ku ya kufanya Project Diamond hili ndio miongoni mwa kazi yenu kubwa ambayo imeonekana duniani kote eeh labda mwisho kufanya kazi zenu akili wewe alikuwa anafanya kazi nyingi lakini hatujawahi kufanya kubwa kama hiyo kinyama nizungumzie suala nyie kuchukuliwa na Diamond kufanya nae video hili kali na vitu kama hivyo nyie hilo swala kwa upande mwenye shule vipi basi nachukua swala kubwa sana nami pia tunamshukuru Mungu pia tunamshukuru Diamond pia tunashukuru timu nzima safi.
Wote ambao wametuonyesha mpaka hivi sasa kwa hiyo kiukweli hatuna maneno mengi sana lakini tunasema tunashukuru sana labda kwa upande wako madam kwa sababu mimi katika video zile niliona eeh na mond akiwa anaongea na wewe kwa ukaribu sana.
Kuna muda niliona kama unalia pale kwa machozi kabisa eeh na mimi nashangaa jamani nilitarajia tangu inakuwa na umechangamka lakini umetulia zako labda dada Margaret Diamond alikwambia nini sasa baada ya mali tuliona hadi nyingi sana alizotoa pale atawasaidia na nini? Hebu tuambie alizungumza nini sasa kukosekana kwa sapoti yenu.
Eti sisi ndio alisema atakuja atakuja na madam zuchu tutakaa chini tutamwambia vitu vyetu sisi atatusaidia.
Na nyie mkipenda wafanye kitu gani? Labda pengine akija hapa.
Kwa upande wetu sisi tulikuwa tunapenda tungependa hatutafuti yeye ni nyumba.
Tulikuwa tunamuomba tutafutie mahali ya makaazi ya tukae pamoja.
On the next one of course ni kule mbele mbele yao kabisa ipi na tumerudi kwenye familia ya the laiti mfalme wa pop Michael Jackson ambaye taarifa kutoka US iliyoripotiwa na majarida tofauti itasema kesi 2 nzito za unyanyasaji wa kingono zilizomhusisha nyota wa muziki wa pop kuliua s the late Michael Jackson zimeibuka upya baada ya mahakama kuruhusu zianze kusikilizwa tena mbali ya kwamba Michael Jackson tayari kashafariki, lakini wahanga waliopitia unyanyasaji.
Kwenye mikono Michael Jackson ofkoz wamejifua kesi hizo wanaume wawili waliofahamika kwa majina ya word robson pamoja na james james.
Setiap wamerudisha madai wakidai walinyanyaswa kingono na mj walipokuwa watoto wadogo inaeleza kuwa robson na setchet walikuwa mashabiki wakubwa wa Michael Jackson miaka ya 1980 na 1990 na wote walikuwa walikuwa karibu na Michael Jackson kiasi cha kulala kwake kwenye jumba la kifahari huko neverland.
Ramsey wanasema kipindi hicho mj alianza kuwafanyia vitendo vya unyanyasaji, lakini waliogopa kusema mapema kutokana na hofu na heshima.
Uliyo nayo kwa Michael Jackson kesi hizo zilifutwa na mahakama kwa sababu zilichelewa kufunguliwa kulingana na sheria za muda na kuruhusiwa kufungua madai kama hayo yaani statue of limitations, lakini baada ya California kupitisha sheria mpya iliyojulikana kwa jina la la fenix app ambayo inaruhusu waathirika wa unyanyasaji wa utotoni kufungua kesi hata baada ya miaka mingi.
Robson na sheikh wamepata nafasi ya kufungua upya madai hayo.
Aidha ghasia 2023, mahakama ya rufaa ya California ilitoa uamuzi kwamba madai hayo yanaweza kuendelea kusikilizwa, ikisema kama mj.
Production na mj venture zinaweza kubeba jukumu kwa madai kuwa hazikuwa linda watoto waliokuwa chini ya uangalizi wa Michael Jackson kipindi hicho.
Hata hivyo, kwa sasa kesi hizo bado zipo kwenye hatua za maandalizi ya usikilizwaji huku upande wa kampuni ya Michael Jackson ukipinga vikali kufunguliwa kwa kesi hizo wakidai madai hayo ni ya uongo yameibuliwa tu kwa sababu hawa washikaji wanahitaji fedha kwa kifupi sana tuweke nukta na hizo kutoka helikopta za info za burudani, Facebook, Instagram na x unapatikana kwa jina 1 tu la abubakar west.
You are here.