Blog.

Jambo FM Tanzania - 2025-10-17T11:00:00.625Z

Jambo FM Tanzania

--:--
--:--

Significant Highlights

1 Highlight

These are the most relevant segments extracted from this record based on semantic analysis.

Transcription

Hivi sasa ni 08:00 mchana kila hatua mix kwa kila akiba malipo na mpango unaouweka katika safari yako ya mafanikio.

Mix inahuduma maalum kwa ajili yako piga nyota 1 5 0 nyota 0 1 reli au pakua mix super cup.

Fury si mvurya 1.00 1.0.

Kwani sharti ya mafuta ya alizeti tuna zikanga habari na burudani kama minofu ya kuku wa kienyeji wa ubungo? Hapa kilovoti za mapambano zinalindwa na vitunguu pamba korosho ufuta choroko dengu nus ali niwapongeze timu ya Singida kama kumbukizi isiyosahaulika ya mwanamama ntiti kidanka kuwasambaratisha hasiri kwenye ukiwa kali ndivyo tunavyo husambaratisha unyonge wachache za gridi ya maisha fresh inayosambaza burudani van hapa aina into za maisha ya fresh Singida 1 0 0 1.0 jambo hizi ni megawati za gridi ya maisha fresh Singida.

Kundi la jasho lako ndio mbolea kwenye kila mbegu ya maisha free.

Kwenye mchanga huku simba mwanangu nimekukataza kucheza huko wanakojenga kama seba injinia wa kesho huyu.

Subiri anakohoa fundi ndio maana sitaki acheze hapa bunge zinamfanya hakohoi bosi hiki sio kozi cha kawaida unasikia alivyoamua haraka na kwa shida.

Inaweza kuwa dalili ya nimonia ni hatari kwa watoto nifanyeje mpeleke kituo cha huduma za afya akapata vipimo na matibabu umejuaje wakati wewe ni fundi tu? Mwanangu alikuwa na dalili kama hizi nilipompeleka kituo cha afya niliambiwa na nimonia na alitibiwa bila malipo kweli ya kufanyiwa hiki ndiye rafiki nampeleka sasa hivi kama mtoto wako anakohoa na kupumua haraka na kwa shida yuko kwenye hatari ya kupoteza maisha mpeleke kituo cha huduma za afya kwa matibabu zaidi tunza afya yangu ujumbe huu umeletwa kwenu na wizara ya afya kupitia idara ya kinga.

Sehemu ya elimu ya afya kwa umma tarehe 29 ndio siku yenyewe ya kupiga kura.

Hebu niambie vizuri nifanye nini? Siku hiyo ndio aisha tarehe 29 Oktoba ndio siku ya kuamua ya kumchagua mgombea anayefaa kutongoza na jambo muhimu la kuzingatia mpiga kura awapo kituoni anatakiwa kutoa kipaumbele kwa wazee wagonjwa watu wenye ulemavu akina mama wajawazito na wenye watoto wachanga watakaokwenda nao kituoni hata nikufikie naona nitakuta foleni tu.

Siwezi kupiga kura aisha naomba nikueleweshe ukifika kabla ya 10:00 kamili alasiri utapiga kura na usisahau kutoa kipaumbele kwa watu wa makundi maalum mpiga kura uwapo kituoni siku ya kupiga kura hakikisha unatoa kipaumbele kwa wazee wagonjwa watu wenye ulemavu akina mama wajawazito na wenye watoto wachanga waliokuja kituoni wapige kura kwanza kura yako haki yako jitokeze kupiga kura ujumbe huu umeletwa kwenu na tume huru ya taifa ya uchaguzi.

Kwenye joto najua.

Saa kitu chenye la.

Jambo.

The.

Ice cream zinapatikana kwenye duka la karibu yako ipatie ladha ya chaguo lako ukate joto ukuu down jambo ice cream bidhaa januka ya.

Aah mabweni na.

Nguvu ya Shinyanga ni jambo kitambo zilizotoka jana.

Kupata ubora tamba na mwamba upate namna ya kupambana usiku wavuvi.

Kazi yangu kubwa ni kupiga mbizi mpaka kila cha Kilindi kukimbilia mchongo wa taarifa na uhakika na muda huu ndio nimeibuka niite mzamiaji.

Bila boya bila hodi ni ndugu mzamiaji yusufu magupa leo na kusimulia kuhusiana na mashine ya maendeleo ni mwangaza wa matumaini ni salum hamisi salum akitikisa jukwaa la siasa meatu akinadi ilani ya chama cha mapinduzi huku akieleza kuwa msimamo wa kifalsafa dira yake ya uongozi.

Safari hii jambo analeta kilomita 10.

Asante.

Anaposema meatu mpya inawezekana umma hauzimiki meatu unaposikia sauti ya salum khamis ni kama imepata lulu ya thamani inayoridhisha kote la heshima na kuiweka meatu kwenye ramani ya maendeleo ya Tanzania na Afrika nzima, wana ccm na viongozi wa juu wa chama cha mapinduzi wanaona wamecheza karata ya busara wakimpa imani yao.

Mtu mwenye dira na sauti ya kuamsha taifa unataka tuhakikishe tumekwenda kwenye mji mdogo twende kwenye mji kamili? Hata aliyekuwa mpinzani wake kwenye kura za maoni ndugu machibya ameonyesha ukomavu kisiasa na moyo wa mshikamano kwa kuungana naye kwa dhati kulicheza gwaride la muamko mpya linaloendeshwa na salum hamisi salum jimbo la meatu limekumbwa na changamoto sugu ukame ardhi inayowanyima furaha kwa adha ya kukosa maji ya kutosha ndio wilaya na jimbo ambalo lina shida ya maji kuliko majimbo yote ya mkoa huu wa simu.

Wanyamapori kama tembo wanaingia katika makazi yao na kuzua kadhia ngumu kilimo cha pamba kinacho kukumbana na mazingira yasiyo rafiki katika kukiendeleza na miundombinu duni sisi kilio chetu kikubwa hapa ni barabara kutoka Singida na kuconnect i na njia ya Arusha kuelekea Bariadi.

Lakini salum hamisi salum anakuja kama jibu mwenye maono, mipango na mtazamo wa kuinua hadhi ya meatu.

Huyu ndiye salumu hamisi salum mwana meatu mpya wa maendeleo na falsafa hai ya mabadiliko anakuja kuridhika meatu kote la heshima na kuiweka katika ngazi ya juu ya Afrika.

Naam mimi ni mzamiaji yusuf magupa.

Huo ndio mchango niliokutana nao kwenye kila cha Kilindi.

Nadhania tena nikiibuka mna jipya.

Bado naikumbuka ile siku niliyozaliwa.

Pumzi yako ya kwanza tulipo hesabu mapigo yako kuanzia 1 hadi 7 sikiliza.

Punda.

Kuilinda nita kutuza kwa gharama yoyote ile.

Wa amani maisha fresh kila siku kwa maisha ya kila siku.

Mapigo 7 ya moyo Tanzania chagua amani kwa maisha fresh kila siku.