Sauti Ya Injili - 2025-10-15T16:00:00.548Z
Sauti Ya Injili
Arusha
Transcription
Africa.
Australia.
Who now is? Who now is? Who now is? The if I doubt.
Kocha mawasiliano.
Udukuzi usipungue lindi usizozijua tuyadhibiti matumizi ya kimtandao yasiyofaa kwa watoto mamlaka ya mawasiliano Tanzania ttcl RA inasema ni rahisi sana kuwa salama mtandaoni jilinde dhidi ya udukuzi kutofungua linki usizozijua kudhibiti matumizi ya mtandao yasiyofaa kwa watoto ni rahisi sana kuutambua tapeli kama haja kupigana nambari 100 jua ni tapeli ni rahisi sana kuripoti utapeli kutuma namba ya tapeli kwenda 1, 5 0.
4 0 ni rahisi sana kuwa kiki laini zako za single bofya nyota 106 alama ya reli.
Bila shaka hujambo msikilizaji na karibu sana katika kipindi cha jamii yetu kipindi kinachoangazia huduma za mawasiliano zinazowezeshwa na tc RA na namna zinazochochea maendeleo katika sekta mbalimbali hapa nchini.
Kipindi hiki kinaletwa kwako na mamlaka ya mawasiliano Tanzania ttcl RA mamlaka ambayo inawezesha upatikanaji wa huduma za mawasiliano ikiwemo huduma za simu na intaneti.
Huduma za posta huduma za utangazaji, usafirishaji wa vifurushi pamoja na vipeto.
Kumbuka tc RA inalenga kuwa na jamii iliyowezeshwa na huduma za mawasiliano msikilizaji 1 ya majukumu ya mamlaka ya mawasiliano Tanzania ni kuhakikisha huduma za mawasiliano zinapatikana kwa watu wote na kwa gharama himilivu.
Miongoni mwa makundi yanayohitaji huduma za mawasiliano ni pamoja na watoto hasa wale walio kati ya miaka 10 na miwili hadi 10 na minane.
Hii leo katika kipindi hiki tutaangazia utaratibu wa kusajili laini za simu zinazotumiwa na walio na umri kati ya miaka 10 na miwili hadi 10 na minane utakuwa nami mtangazaji wako willy protus cosmas nikusihi tuambatane pamoja mwanzo hadi tamati biashara sawa mambo vipi na 2 ukonga niko poa na vyeo vitengo wakichangamka leo.
Bwana mimi na swala la muhimu sana kwako leo RCRA wamekuja na mkakati gani wa kudhibiti wizi wa mtandaoni bahati sare 1 na mkakati thabiti mkakati kabambe ndio wanasema treni kwamba ili kutambua kama kitambulisho cha nida kimesajili namba ngapi ndio niulize tu ingia kwenye simu bonyeza nyota mia na 6 alama ya reli mbio na kama ukija kugundua kwamba kitambo chako cha nida kimesajili ni namba usiyejielewa mingi mingi ndio wasiliana na mtoa huduma wako haraka sana rasmi ya 3 ee lazima wachoma moto.
Janjaruka usikubali kutapeliwa ujumbe huo umeletwa kwenu na mamlaka ya mawasiliano Tanzania, ttcl RA mwenendo wa idadi ya laini za simu kwa ajili ya mawasiliano ya simu kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita inaonyesha ongezeko kubwa la umiliki wa laini za simu.
Kwa mfano mwaka 20, 20 kulikuwa na laini za simu 51,000,000, 2.9 sawa na ueneaji wa 81/100 kulingana na idadi ya watu mwaka 20 21.
Kulikuwa na laini za simu 54,000,000 nukta 1 sawa na ueneaji wa 88/100 mwaka 2022 kulikuwa na laini za simu 60,000,000 nukta 2 sawa na ueneaji wa 98/100 mwaka 20 23 kulikuwa na laini za simu 70,000,000 laki 2 90,876 sawa na ueneaji wa %111 na mwaka 2024 kulikuwa na laini za simu 86,000,000.
8.4 sawa na ueneaji wa %133 na hadi 06/20 25 kulikuwa na laini za simu 92,000,000 nukta 7.
Linki au maudhui ya uchochezi uzushi na upotoshaji ukipokea ujumbe wenye chuki matusi au uongo tutadhibiti kabisa ukipokea ujumbe wa uvunjifu wa amani usisambaze futa lility kabisa.
Ujumbe huu umeletwa kwenu na tc RA.
Naam msikilizaji katika kuhakikisha watoto walio na umri kati ya miaka 10 na miwili hadi 10 na minane wanamiliki laini za simu kwa ajili ya mawasiliano.
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania, ttcl RA imeweka utaratibu wa wazazi kuwasajili watoto wao laini hizo za simu kulingana na miongozo ya usajili wa laini za simu simu ya ttcl RA laini za simu zinazotumiwa na watoto zitasajiliwa chini ya kipengele cha usajili wa biometric ya wa watoto katika kufahamu kwa kina kuhusu zoezi hili nimezungumza na kaimu meneja wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania, ttcl.
Norbert makonda ambaye atatufahamisha kuhusiana na sheria za usajili wa laini za simu kwa walio na umri kati ya miaka 10 na minane kwa kuanza makonda tunajua kunahitajika umakini mkubwa na usimamizi wa hali ya juu kwa maswala yanayowahusu walio chini ya miaka 10 na minane katika mambo mengi kuhusu usajili wa laini za simu kwa kundi hili miongozo ikoje kwanza hapa nataka nitoe nitoe taarifa kwamba mba mwaka huu 2025 serikali ilitoa kanuni mpya.
Damasiana tuendelee na coast ambayo inahusu usajili wa laini za simu kwa kanuni za mwaka 2025 ambazo zinaelekeza namna ya kufanya usajili wa laini za simu.
Sasa utaratibu zinaingia kwenye makundi mbalimbali.
Kuna makundi unaweza ukawa ni vitu ambaye ni mtu mzima kwa upande wa ndani ambaye ni mzawa mtu mzima ambaye ni mwenye mgeni mtu mzima ambaye ni ambaye ni mwanadiplomasia mtu mzima ambaye ana changamoto za vidole kwako unaenda kuna kuna au mtoto kwa kuna kuna maeneo mengi ambaye yamebaini.