CG FM Radio - 2025-12-21T16:00:00.726Z
CG FM Radio
Tabora
Transcription
Ni 01:00 usiku silaha ni kuaminia nguvu ya teknolojia kwenye kufikia ndoto zako anzia ulipo na yaaas.
88 nukta 5 si jee fm sauti yenye mamlaka.
Na hii ni sauti yangu kila mtu ana kiwango chake cha fedha ambayo ndiyo fedha ukipewa sasa hivi hakuna mchanganyikio kiwango chako kaka kikiwa ni laki 5 tukakupa 1,000,000 tumekuwa hivyo walikuwa ni wanafunzi kinachofanya wanafulia vyuoni nini mtu ametoka huko sekondari hajawahi kushika hata shilingi laki 2 mara kwenye kwenye akaunti tu.
Laki 7 hiyo imeingia naona yeye ndio mwamba yeye mtu alikuwa anaweza kutembea kwa mguu vizuri kabisa anagundua miguna inavimba anaamua sisi sisemei tena anaamua kuanzia sasa nitakuwa anachukua bajaji anapanda bajaji.
Mtu alikuwa anaweza kunywa maji ya kuchemsha naona haya maji ya kuchemsha bakteria ni yale na maongezi ya ndani.
Anaona hii ni bakteria anaamua achukue maji yale makubwa wanamwambia kuna ya 600 na ya 3000 kabla ya 3000 hela hiyo.
Anachukua maji anakunywa akinywa naona kama maji yakati kiu vizuri anaona hapana nipe hiyo ni sumu atachukua chips anasikia sauti ya chipu ataenda kwenye chipsi ataona na kuku mbona kama tunafahamiana anachukua na ukifika kwenye kiwango ambacho anaweza kuienda kile cha wiki 2 ndio ila pili ndio sauti yangu.
Sauti yangu.
Tabora sikiliza cg fm radio kupitia masafa ya 8 8 nukta 5 megahertz.
Sasa leo umepuliza hapa sio mkali mno ndio maana mwanangu anakohoa na kupumua kwa shida lakini dada huna ameanza kukohoa kabla hatujafika kwenye sherehe na nilikuwa sijafulia pafyum sasa ameona ameanza kupumua haraka na kwa shida hivi skia.
Hii itakuwa dalili ya nimonia au kikohozi hapana pia.
Mtoto antimoni alikuwa na dalili kama hivi yule mtoto tuliyemzika mwaka jana ndio alifariki kwa nimonia kwa sababu haitoisha kituo cha huduma za afya ndio maana wataalamu wa afya ushauri ukiona hizi dalili muwaishe kutoka kituo cha huduma za afya bado amenishtua mapema mdogo wangu nampeleka kituo cha huduma za afya sasa hivi halafu utaniambia kasi umenunua wapi ni nzuri kama mtoto wako anakohoa na kupumua haraka na kwa shida yuko kwenye hatari ya kupoteza maisha mpeleke kituo cha huduma za afya kwa matibabu zaidi.
Kutunza afya yangu ujumbe huu umeletwa kwenu na wizara ya afya kupitia idara ya kinga sehemu ya elimu ya afya kwa umma.
He maana yaani kwa kweli niko hoi yaani nimepanga nagachika kabisa yaani nalima kwa wakati napanda kwa wakati.
Lakini mavuno jamani sipati wale yaani anashindwa hata kukwambia kitu chochote kwa sababu na wewe wakafundishe.
Tatizo wako hizo ni mbegu pamoja na mbaya hiyo ndio tatizo kubwa yaani mwenzako sasa unajua nafanyeje natumia mbegu bora chama hindi pole anadawa kutoka zamu agrovet wewe sijui unatumia la wapi wale wewe utachemka.
Yaani naapa mpya mavuno yangu sasa sasa hivi ah huyatamani saa hio ni saumu agrovet wanaopatikana eneo la ccm mgongoni kabla la stendi ya zamani wanazo mbegu bora za mahindi na mbegu aina zote mbolea za aina zote na dawa za kuku aina zote kama broiler, broiler, saso na aina nyingine za kuku vyakula vya mifugo aina zote dawa za mifugo pamoja na chanjo za mifugo wanazo mbolea bora ziada OCPETG ni jingo na mbonea za fomi kwa mahitaji ya pembejeo.
Bora za kilimo na mifugo waone zamu agrovet au upige simu namba 0763590108 au 0623258108 na 0785680108 zamu agrovet ni jembe ama mafanikio wana.
Yewe mkazi wa Tabora unachelewa nini kufika kwa kinazi electronics kwani hawa ndio mabingwa wa kuuza vifaa vya umeme, Tabora, kinazi, electronics wanauza tivi aina zote na saa hizi zote kama haice aboud sunda rising star x samsung na lg pia wanauza afridi na friza aina zote zikiwemo hice misa yuk mosi aboud ana sunda vile vile ukifika dukani kwa kina za electronics utapata sabufa aina zote zikiwemo za sunda boda na siano ndogo kwa kubwa.
Pia wanauza spika za kutumia sola ikiwemo za sunda abode na alto kuanzia watu 3000, watu 4000 si watu 6000 na watu 8000.
Hawa ndio kinazi electronics mwambiwa kuuza vifaa vya umeme Tabora wanazo spika za kuchaji za rising na sunda pia wanauza sola aina zote wanauza betri za sola na betri za gari aina zote vingamuzi vya.
Start Times.
Nadia STV Jordan of the Pasta.
Lukaniko Kinas Electronics.
Wanapatikana kachoma dampo jirani na duka la mbolea au piga simu namba 0 7 5 6 31 32 63 au 0 7 8 6 31 32 63 nyote mnakaribishwa kinazi electronic.
Kuelekea msimu wa sikukuu na mwisho wa mwaka tunawakaribisha wakazi wote wa mkoa wa Tabora na mikoa ya karibu kwamba itakuwa na uuzaji wa kuku kwa maeneo ya makingi atamke sasa na ulyankulu center tutakuwa na uuzaji wa kuku wenye uzito wa kuanzia kilo 1 na nusu kuendelea washiriki 17,000 bila bila kusahau atikanaji wa sila bora kutoka ofisi za a km zilizopo.
Kauli ya mkuu sensa hawa polisi la chakula bora cha kuku.
Kitakachopatikana ofisi za a km blockers zilizoko ulyankulu center mtaa wa polisi live kwa bei ya shilingi 85,000 kwa mfuko wenye ujazo wa kilo si watu sasa kabla haujatolewa kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 068104 tu 4 0 2 0.
Yeah.
Avi yetu ya sportpesa.
Inategema mkwanja bure kila siku 3,000,000 na laki 2 zimetengwa kwa ajili ya mwana kasino wahi sasa mgao wako pakua afya sportpesa kwenye playstore au appstore tembelea sportpesa dot co dot tz hairuhusiwi kucheza kwa wenye umri chini ya miaka 18 vigezo na masharti kuzingatiwa.
Tumia mitandao ya kijamii kwa.
Ukipokea ujumbe wa uzushi au kupotosha usi usambazi fursha nilihisi kabisa ukipokea ujumbe wenye seti au udhalilishaji.
Kuhusu usambaze futa miliki kabisa ukipokea picha mnato au jongefu zilizobadilishwa au kutengenezwa na kilumbe kwa lengo la kutosha usisambaze futa vile eti kabisa ukipokea maudhui yenye utata au uchochez.
Usisambaze futa lile eti kabisa tumia mawasiliano kujiletea maendeleo mawasiliano ni fursa ujumbe huo umeletwa kwenu na mamlaka ya mawasiliano Tanzania ttcl RA.
Uongozi wa shule ya sekondari ya wasichana bruce cai iliyopo kata ya majiri wilaya ya uyui mkoani Tabora barabara ya nzega unawatangazia nafasi za masomo kwa kidato cha kwanza mwaka 2026.
Masomo yataanza rasmi tarehe 5 Januari mwaka 2026.
Pia shule ya sekondari ya wasichana blue sky kuna nafasi za kuhamia kidato cha pili cha 3 na cha 4 mwaka 2026 shule imeendelea kufanya vizuri katika mitihani ya kitaifa ndani ya wilaya, mkoa na taifa ambapo imeendelea kuwa ndani.
Ya shule 10 bora mkoani Tabora ewe mzazi mpeleke mwanao shule ya sekondari ya wasichana buscar magiri kwa malezi bora ya kiakili kimwili, kijamii na kiroho kamwe hutajuta kumpeleka mwanao bruce girls moto wetu ni tunajifunza kwa ajili ya maisha land for life kwa mawasiliano zaidi wapigie simu nambari 0, 7 8, 4 73 73, 13 au 0 7 5 5 49.
21 0 1 au 0 6 5 3 19 28 74 karibu sana brodsky Tabora.
None.