RadioOne - 2025-10-17T11:00:00.467Z
RadioOne
Dar es Salaam
Significant Highlights
1 HighlightThese are the most relevant segments extracted from this record based on semantic analysis.
Transcription
Vale mwenzie kabila katibu mkuu wa bft kwa tumezipokea vituo hivyo sababu kwanza inatoa homa advantage kwa timu yetu ya nyumbani na pia ina provide.
Hatua hii ya kufuzu hatua ya 16 bora na safari hii tuna advanced kwa sababu timu nyingi zilizokuwa zinaendelea zishiriki tumeshindwa kushiriki kwa namna 1 au nyingine kama dynamo ya Burundi ilifungiwa kwa hiyo imepunguza challenge.
Kwa hiyo imebaki imebakisha vigumu kuwa na timu 3 comoro, Uganda na Tanzania kama wenyeji.
Hivyo basi na kwenye hii kundi ni kwamba timu 2 ndio zinafuzu kwenda hatua ya 16 bora.
Kwa hiyo ni muhimu sana kwa maisha ya leo.
Wenyeji kushinda ili kuwa na uhakika.
Angalau kwa mguu mmoja upo katika hatua inayofuata taarifa hiyo msikilizaji wa radio one akamilisha habari za michezo wa nyumbani 08:00 kamili ya habari za saa tukirejea 1 kwa 1 tunakwenda kwenye kikao cha dharura.
It is certainly Sonami Committee.
Karibu katika habari za saa kutoka redio one msomaji ni adan Mohammed.
Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, daktari philip mpango yuko jijini Nairobi nchini Kenya kumwakilisha rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dokta samia suluhu hassan katika maziko ya alikuwa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga.
Taarifa ofisi ya makamu wa rais amesema wengine walioko katika msafara wa makamu wa rais ni pamoja na rais mstaafu awamu ya 4 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jakaya mrisho Kikwete na waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, balozi thabit mahmoud kombo.
Guterres wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha act wazalendo Mheshimiwa othman masoud othman amesema chama chake endapo kitapata ridhaa katika kupitia uchaguzi mkuu ujao.
Serikali yake itaandaa mpango maalum wa matumizi ya mabonde yaliyokuwa Unguja na pemba ili kutumika katika uzalishaji kwa tija.
Amesema hayo huko shengejuu wilayani wete, jimbo la pandani Kaskazini Pemba alipozungumza na wakulima wa mashamba ya chumvi mwani mbogamboga na matikiti akiwa kwenye uchaguzi ziara ya uchaguzi kampeni za uchaguzi kuelekea uchaguzi wa 10/29 mwaka huu.
Mataifa polisi nchini Kenya wamewaua kwa risasi watu wanne katika purukushani za kuwatawanya waombolezaji wakati wa kuaga mwili wa kiongozi wa upinzani raila omolo odinga katika uwanja wa michezo jijini Nairobi na katibu mkuu wa Umoja wa mataifa, Antonio guterres amelaani mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini madagascar baada ya wiki kadhaa za maandamano ya umma dhidi ya utawala wa rais aliyekimbia nchi hiyo andry rajoelina.
Katika michezo klabu ya soka ya Real Madrid inaweza kumpeleka andric mwenye umri wa miaka 19 kwa mkopo mwezi Januari mwakani, lakini west ham haionekani kuwa mahali pazuri kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa baraza.
Na Barcelona ina mtazamo fowadi wa hoffenheim na kosovo finsch ya aslani mwenye umri wa miaka 20 na mitatu ambaye anaweza kuondoka ndani ya klabu hiyo ya nchi, Mjerumani msimu ujao wa joto kama mlengwa mkuu wa usajili huo.
Shabari za saa kutoka radio one tafadhali usikose kujiunga nasi tena 09:00 kamili alasiri kusikiliza habari nyingine za sana jina langu ni adam Mohamed.
Engineers favourite radio station.
Mama nipo njiani naja tuli kuunganisha na uwapendao katika nyakati zote muhimu.
Kikosi kazi zote nilituma kwa wenyewe hadi kazidi turudi kuunganisha na dunia mjukuu wangu asante nimepokea muamala kupitia uzinduzi wa m pesa uliweza kutuma na kupokea pesa kwa urahisi ulipokuwa na mradi wa kujiendeleza songesha ilikuwa suluhu yako.
Leo Tanzania inapaa kwenye teknolojia, biashara, vipaji na kelele za uwanjani vodacom miaka 25 ya kuwaunganisha Watanzania tupo nawe tena na tena.
Vodacom pamoja tunaweza.
10/29 njia ni 1 tu kuelekea kwenye kituo cha kupigia kura kortini kisaamia unapofika kwenye karatasi ya kupigia kura kwanza angalia nembo ya kijani ya ccm kisha angalia picha ya mgombea urais doctor samia suluhu hassan mbele kabisa utaona boksi wazi ambalo ndilo utaweka tiki yako hakikisha tiki yako haitoki nje ya box mwambia mwenzako amwambie mwenzake kwamba 10/29 tunajitokeza kwa wingi na kutia kisaamia.
Ile burudani kiwanja chenye hadhi ya.
I club 25.
Hii mambo yamezidi kunoga ni Jumamosi hii na kila Jumamosi ni timu ya kuinjoi ni timu ya kujirusha ndani ya kijiji cha burudani iddi twenty four.
24.
Jovan na ngoma zote kali za kisasa chini ya wakali wa hizi kazi dj nikikutwa dj pigo dj title.
Na kwenye mc ni haipa mkali twalib i na nikupe mchonyo tu burudani hii itakuwa mubashara kupitia kipindi cha wiki ni show ya radio one kila Jumamosi kuanzia 03:00 kamili usiku tukutane club ndani ya EB twenty five mbezi beach makonde na kubwa kuliko hakuna kiingilio.
Kambi ya michezo mpira uachie mpira unauma mpira unauma watu wanakufa na waoneni wivu watu ambao hawapendi mipira joto ambao hawapendi mpira wana maisha mazuri ndugu yangu kama hupendi mpira una maisha mazuri angalia mimi maana sisi 1 tunapigwa nje ndani au simba au simba kuna vitu mnafanya.
Wachezaji.
Vipi aondoke katika chama mtauza sisi moyo tunapenda mpira tunaumia sisi tunakuwa mahindi chakuwama mara 5 bora.
Like.
Mimi naumia sana kwa sababu tukikaa huko mtaani sio tu na hagomba ndio kama mimi biashara yangu mingi kama nitajenga hospitali 6 kapuyanga sura yangu yaani hamna mtu asiyejua nafaka nawaambia, anasema timu yangu nzuri nilipofikiri kipchoge sasa hivi kila siku tunadhalilika.
Kambi ya michezo kambi ya michezo na sasa kikao cha dharura.
Wakati mzuri sana hivi sasa msikilizaji wa radio guan wa kikao cha dharura mahala ambapo wana kambi sasa tunaketi na kujadili jambo 1 tu na leo kwa sababu ni ijumaa na wikendi itakuwa fupi sana kwa sababu ya ubize wa michezo mingi sana bado tunakwenda kuishuhudia licha ya tu ya michezo ya ligi kuu soka Tanzania bara lakini kuna michezo ya kombe la shirikisho barani Afrika na klabu bingwa.
Kadhalika kuna michuano ya bar hapa dar es Salaam Tanzania inafanyika kadhalika.
Na ligi mbalimbali zinarejea pia huko barani Ulaya na kwingineko duniani hivyo wikendi itakuwa fupi sana fupi sana.
Sisi kikaoni hapa msikilizaji wa radio one tutakwenda kuitazama michezo ya.
Ya ya kombe la shirikisho na klabu bingwa Afrika na na na iddi wikendi yako iende vizuri pamoja na kuwa ni fupi ndio kutokana na mtiririko wa matukio mengi yaliyoko wiki hii ee ili iende vizuri sasa ni lazima uwe na kitu mfukoni sisi kama kando ya michezo kupitia michezo super tunatoa fedha kiasi cha shilingi laki 1 ambayo ni ya kwako msikilizaji wa radio one laki 1 hii inatoka 09:55 namna ya kuchukua rahisi sana ndio nenda katika sehemu ya kufanya miamala lipo 2 ama lilipokuwa.
Kisha unaingiza na bara kampuni 22 22 23 kabisa mlafu unaweka kumbukumbu namba 7, 7, 7 au neno i tv ya kiasi cha fedha.
Hiyo ni shilingi 1000 tu unaweza kuondoka na shilingi wanaitambua kigunya buku na wanaweza kuabudu kutua mmm shilingi laki 1 kabisa nimeongea kama unatafsiri movie wale na sasa.
Celine kama kuondoka.
Kikaoni leo twende kikaoni taka kwa taji.