Blog.

Jembe FM - 2025-10-16T23:00:00.584Z

Jembe FM

--:--
--:--

Transcription

Shirika la kideboymnyama pia rasta 1 katika maoni hans atafuta mpenzi bwana hans natafuta mpenzi na namba ya hasbana ni 0 7 81 71 90 94 namba 50th 0 7 71 70 0 7 81 71 90 94 uyu ni has pia abdul nilishamsoma amesema yake, joseph pia ni chesos yako kama sijakosea yosefu hutokea wapi bwana juma follow.

Kwa mfano.

Hatusikilizani akasema rasta na mambo vipi wanajulika najulikana kama joseph napatikana Mwanza hapa hapa natafuta mke izingatiwe natafuta mke namba yangu ni 0 7 halafu 0 7 76 rafu 62 halafu 70 mwisho kabisa ni 61 kuona james atafuta mke ieleweke hivyo nasomeka kama zamda magege safi kabisa pia james haiti jean stella yafahamu mambo vipi hii safi wape waambie watasajili? Kwa beki wawe 30 hadi sasa tupate george na vichekesho.

Bwana baada ya kusikia rasta akasema nisome kama za muda magege, anasema.

Anasema na natafuta marafiki zangu bwana akasema, janeth john pia anasema tumepotezana kitambo bana namba yangu ni 0, 7.

58 96 86 mwisho kabisa 51 mwana bwana maadamu za muda magege baada ya kodi yake ni 0, 7 58, 96 86 mwisho kabisa ni 51 noma kweli kweli jembe malo.

Mambo vipi mambo vipi mambo vipi shwari kabisa tu kwa pamoja tuka asubuhi hakuna nao pamoja sana.

A 1 akasema, vipi rasta huu ni ibra once again asiye matafuta mpenzi wa kike ibrah number one namba hii kama sijaisoma namba ya ibra ni 0 7 64 halafu 72 71 65 na nadhani hii namba nilisoma muda sana jembe falo.

Oyo oyo rasa mambo vipi? Vipi rastan ilete habari ya palipo? Hatusikilizani bado sio mmoja kasema abdul cha kusoma has pia nishakusoma kelvin bado sijamsoma ajulikane kama kelv namba na nibadilishe ya majina ile namba ni ile ile ishajua mmm nabadilisha majina afu namba ni ile ile yaliyowahi hiyo naijua hiyo 1 akasema rasta napandisha majora ameomba pia kevin unanitumia majina tofauti tofauti afu namba yako ile ile kidogo tunapokuwa nguvu na muda pia akasema rasta maana hiyo nini akasema ni kodi ya yule yule wana wana wakali sana yeye pia achia jiwe.

Yuko zake maeneo ya ibungilo pale hamna pia Jumanne masangu ushasoma namba yako pia Hussein pia akasema natafuta mke wa kuoa aliye tayari basi amcheki Hussein kupitia 0, 7 14 rafu.

Huku 59 alafu 31.

Halafu 12 0 7 14 59 31 12 wa mwisho kabisa wa mwisho kabisa wa mwisho kabisa inasema wa mwisho afu zilizipo zingine anaitwa paul pia paul kayui anapatikana wapi? Paul National kule akasema pia anatafuta, anasema asema asema anatafuta anasema natafuta mpenzi wa kudumu naye kwenye mahusiano namba yake ni 0, 6 28.

59 94 kumradhi nitarudi tena 0 6 28 59 49 mwisho kabisa ni 69 rasta na nasoma mdogo mdogo sana kwa sababu hizi namba zimebainishwa unashindwa kusoma kwa spidi juma anasema pia natafuta mke wa kuoa namba ya juma ni 0, 7, 48 halafu.

48 alafu 42 tena 12 mwisho kabisa ni 89 napokea simu ya mwisho ijumaa malo last alaska mambo vipi? Rasta sana sana sana.

Laska kama rasta tusikilizane baada ya rasta kongole kwa kila mmoja ambayo tumecheza razia kuanzia 07:00 na ni saa ya sae tumeanza tokea ile 07:00 kamili mpaka sasa ni 08:00 na dakika ni takriban lisali 1 tume cha razia najua wenye marafiki wamepata wenye wadau wamepata pia wenye bebes pia wamepata najua hata wale wa mahusiano mapya najua utakuwa wacharaza waya kabisa jambo jema sana cha msingi sasa twende kugota pale kwenye majora pia tukumbushane majambo mwana bwana hii ni majora ambayo.

Huenda kuisikiza alafu mimi narejea hapa muda si mrefu gediz kwa ajili ya kusikiliza pia ikabidi nikate maana ule ugonjwa ulikuwa unavyopanda miguu inaendelea kuoza kiukweli nikaweza kuitafuta bila ya mafanikio nikaona bora nimuamshe mke wangu ili aweze kunisaidia labda yeye huenda akawa ameiona sehemu sikupata jibu zuri nitaambia atatajwa imekuja amani siku 3 akatwe miguu na wakati mtu katoka jana mzima leo inakuwaje akatwe miguu nikashtuka nikamgusa mamkwe.

Gusa mamkwe amesikiliza akaniambia al-shabaab wa shilingi ya kutumika hasa hadithi vitimbwi misukosuko ya maisha ya baadaye majola.

Ni siku nyingine ambayo Mungu ametupa kibari cha kuweza kusikilizana hapa hapa kwenye majora ya jumbe FM 9 3 nukta 7 mimi ni quick makazi rasta kabisa mswahili fulani ambaye umezoea kila siku Jumatatu hadi ijumaa.

Kulisikiliza kwenye patrol lakini kwenye segment ya adhimu kabisa ya majora leo majola ambayo utaenda kuisikiliza itakufikisha maswali mengi sana na itakuumiza pia kwa sababu ndani yake ina ukatili wa kijinsia.

Lakini kama hiyo haitoshi pia ina unyanyasaji pia unajua katika jamii tuliyonayo mabinti wengi wanaonekana kufanyiwa ukatili sana.

Kijinsia pia na kisaikolojia, mfano ni leo kwa huyu binti ambaye ni mmiliki naye live kutokea songea hadi Mwanza.

Tunazungumza kuna mengi sana utayasikia kutokea kwake anaitwa verret ni binti ambaye amefanyiwa ukatili na ukatili wake aliowezeshwa na baba yake akiwa na umri mdogo sana alikuwa darasa la 4.

Lakini baba yake akatamani binti huyu awe mke wa mtu.

Hapo ndipo ukawa mwanzo wa binti huyu kuharibu future yake ukawa mwanzo wa kupoteza ndoto zake ukawa mwanzo wa kujutia na kupoteza umama kama Mungu aibariki akamsaidie pia akawa mama obiti wake ulipotea pia umama wake pia umepotea nikisema hivi bila shaka hutonielewa mwanzo lakini huko mwisho unajua ukimsikiliza binti vizuri sana kuna jambo utaamua naomba nizungumze kitu kimoja kwa wazazi.

Ambao mnategemea mabinti zenu wa watajirishe si sawa mzazi umeshaona kuna binti anasoma.

Kutokana na umaskini ulio nao na tamaa ya uliyonayo, unaamua kumuanzisha kumkatili mtoto huyu ili wewe ati unufaike kisa kwamba wewe ni mzazi wake.

Hapana si sawa muache binti asome ukifika umri ataolewa wakati huo tayari hii mwenyewe atakuwa kashapata maisha yake mengine kashatoka mikononi mwako kama tegemezi lakini ukisema utumie kofia yako ya ubaba utakatifu i sana ndoto za binti wako uta katili sana pia saikolojia yake hiki anachokizungumza ndio kilichotokea kwa vailet.

Leo ata tusimulia nikuombe sikiliza kwa makini sana.

Bila shaka lipo jambo 1 la kuweza kumshauri binti huyu.

Everett bana mimi nikukaribishe.

Uko live kabisa.

Kupitia gmm 93 7.6 tuko Mwanza kwa kukosa kwa songea.

Karibu sana ise kwanza kabla ya yote naomba kukushukuru kwa kunipa nafasi hii kwa sababu nilikuwa naitafuta muda mrefu sana kuweza kuelezea kitu ambacho kilikuwa maoni mwangu na kilikuwa kinanitesa kwa muda mrefu sana nilikosa nafasi pakuu kuelezea hisia zangu lakini nashukuru leo hii nimeitafuta nimewatafuta na nimewapata naweza kuongea kitu ambacho kilikuwa kinanitesa kipindi cha miaka 9 ya nyuma mimi ni mzaliwa wa so ni mzaliwa wa mkoa wa Ruvuma.

Akiongea mjini bomba 2 lakini baba yangu alikuwa ni mmasai mtu wa Arusha.

Mimi ni mtoto wa 5 katika familia na watoto watano namaanisha.

Mimi ni mtoto wa mwisho.

Mimi ni mtoto wa mwisho katika familia yetu.

Kipindi cha miaka 9 iliyopita nikiwa na umri wa miaka 13 nilikuwa nasoma pia darasa la 4 bombambili songea mjini.

Kipindi hicho nilikuwa niko tu mdogo sielewi chochote na nilikuwa naishi na wazazi wangu na ndugu zangu wengine ngoja kwanza unajua tunapopiga stori.

Kwa kuwa inakuwa ni nzuri zaidi.

Kama nikiongea na mtu ambaye namfahamu wala ukiwa ni kwa uchache sana.

Hebu naomba uniambie ban au sio wewe ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kwa familia yako ni mtoto wa mwisho yeye ni mtoto wa 5 katika fa.