Radio Kwizera - 2025-10-14T16:00:00.470Z
Radio Kwizera
Ngara
Transcription
Kwani wa kimataifa wa Poland mwenye umri wa miaka 37 katika klabu hiyo huku kandarasi yake ikitarajiwa kuisha msimu ujao wa joto na hakuna ofa mpya inayokuja barabara kabisa katika riadha kocha wa zamani wa timu ya riadha ya Uingereza kwenye michezo ya Olimpiki hose vicente lever modhalla ameshtakiwa kwa makosa ya kuwadhalilisha watoto.
Hatua hii inafuatia uchunguzi wa polisi katika jiji la Manchester kuhusu raia wa norway.
Level modala ambaye pia anajulikana kama vicent modala.
Na huu ndio mwisho wa makala ya spoti jina langu shwaiba Ibrahim.
Ni matangazo ya dira ya dunia kutoka idhaa ya Kiswahili ya bbc habari kuu jioni ya leo jeshi nchini madagascar inasema limechukua uongozi wa taifa hilo baada ya rais andry rajoelina kukimbia kufuatia wiki kadhaa za maandamano ya kupinga serikali yake na shirika la kimataifa la Msalaba Mwekundu limesema kwamba zoezi la kuopoa miili ya mateka wote wa Israel ambao walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusambaa walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusambaa walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusambaa walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusimama walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusikika walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusikika walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusambaa walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusambaa walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusimama walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusikika walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusambaa walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusimama walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusikika walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusimama walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusikika walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusambaa walifariki ni changamoto kubwa sana.
Hii ni bbc.
Naam unaendelea kusikika kudhulumu siasa mademu ghasia za taifa swala ambayo sasa kwa undani pia kwa sasa diplomasia yanaendelea kati ya Nairobi kueleza ni kwa nini kinachofanyika kuelekea kusini dhulumu siasa na demokrasia za taifa swala ambayo sasa kwa undani mbeya kwa sasa diplomasia yanaendelea kati ya Nairobi kueleza ni kwa nini kinachofanyika tu na aliingia pale kwa mara ya kwanza tangu matatizo yake na serikali ya Kinshasa.
Kuanza kuchipuka katika bunge la kuhusiana na swala la mashariki mwa drc.
Naam ni mahojiano ya philips, martina leila Mohamed kuhusu maswala ya drc sasa tutoe japan ambapo mahakama ya taifa hilo imemhukumu kifo mtu mmoja aliyewaua watu wanne katika shambulio la risasi na mapanga mwaka 2023 na kukataa hoja ya na na kukataa hoja ya upande wa utetezi kwamba ana ugonjwa wa kiakili massa nori aoki ambaye sasa ana umri wa miaka 34 yaliwachoma kisu wanawake wawili waliokuwa wakitembea katika.
Mji wa nakano kisha kuwapiga risasi polisi wawili waliofika eneo la tukio baada ya kupokea simu ya dharura, isabela magodi na maelezo zaidi.
Vurugu za bunduki ni jambo nadra sana nchini japan ambapo sheria kali za kumiliki silaha zimewekwa na jambo lisilo la kawaida zaidi ni tukio la kupigwa risasi kwa maafisa kadhaa wa polisi.
Tukio aina hiyo lilifanyika zaidi ya miaka 30 iliyopita.
Mawakili wa mshtakiwa walikuwa wamesema kwamba kifungo cha maisha jela kilikuwa kinafaa zaidi kwa aoki ambaye anaugua ugonjwa wa akili wa skizofrenia.
Waendesha mashtaka walikubali.
Kwamba awoke alikuwa na changamoto za akili, lakini alisema kwamba alifanya mauaji hayo akiwa na hasira na aliweza kutambua mema kwa mabaya.
Wakati huo aoki ambaye inasemekana alikuwa amevalia sare za kumfanya asitambulike kwa urahisi kuhofia miwani ya jua na barakoa aliripotiwa kwa shambulia wanawake hao kwa sababu aliamini walikuwa wakimsema vibaya gazeti la the mainichi la japan liliripoti haijabainika iwapo aliwafahamu wanawake hao baada ya shambulio hilo.
Awoke alijificha katika nyumba ya wazazi wake katika mji wa nakano kwa 12:00 kabla ya kujisalimisha kwa polisi baba yake masaa michi aoki ni spika wa bunge la jiji la nakano kabla ya masaa nori au kukamatwa wakaazi katika mtaa wake walihimizwa kusalia nyumbani huku viongozi wa eneo hilo wakisambaza tangazo kupitia barua pepe na vipaza sauti na polisi.
Pia wakienda nyumba kwa nyumba japan ina sheria kali za umiliki wa bunduki na inaruhusu tu.
Raia kumiliki bunduki za kuwinda watu wanapaswa kufanyiwa uchunguzi mkali na vipimo vya afya ya akili kabla ya kununua bunduki nchini japan kufuatia mauaji hayo ya watu wanne, mamlaka iliimarisha sheria ili iwe vigumu kumiliki hata aina ya bunduki ya kuwinda kama vile aoki alitumia kanuni kali pia ndizo zinazofanya matukio kama haya na kupigwa risasi kwa waziri mkuu wa zamani wa japan, shinzo abe kuwa jambo la kushangaza sana.
Mm hmm ni taarifa hiyo kutoka japan lakini sasa.
Anatupia jicho ujumbe uliotuma kwenye ukurasa wetu wa Facebook msikilizaji ikiwemo peter faneli wa Arusha Tanzania anasema majanga yaliomkuta rais wa madagascar ni yale yale aliyemsababishia mtangulizi wake ravalomanana hivyo ni kweli chuma hunoa chuma padri moshi naye wa kutolea moshi Tanzania, anasema binafsi naunga mkono kilichotokea huko madagascar kwani kiongozi ukisahau majukumu yako kwa wananchi wako haya ndio majibu lakini vile vile naona ujumbe hapa.
Mafundi hamis full migebuka kizaka aminika shukran huyu mwingine ni zengo pambe shellembi eeh naye machenje ili upemba shukrani sana msikilizaji lakini vile vile nikukumbushe tu kwamba kwenye tovuti yetu ya bbc Swahili habari zinazidi kuchapishwa pale na wenzetu wa kitengo cha dijitali ashajua malizi masinga ambia hirsi wameandika pale kama dakika 30 zilizopita kwamba jeshi laahidi uchaguzi ndani ya miaka miwili.
Hii ni habari hiyo ya madagascar ambayo ndio habari kuu.
Jioni ya leo na ndio habari ambayo matukio yanazidi kubadilika kila baada ya saa lakini sio hiyo tu.
Kuna habari hii ya wafungwa wa kipalestina ambao wameripoti unyanyasaji katika magereza ya Israel.
Tembelea tovuti yetu ya bbc Swahili upate kusoma taarifa hiyo kwa huku Kenya afisa Kenya wauawa katika shambulio la upinde na mshale kwenye lango la makazi ya rais ilikuwaje basi tembelea tovuti yetu ya bbc Swahili lakini vile vile kule Korea Kaskazini huenda wanasema kwamba ilitumia teknolojia ya urusi.
Makombora ambalo walilitumia hapo na mgombea wa upinzani nchini cameroon nadai ushindi akimtaka rais pia kukubali hayo yote kwenye tovuti yetu ya bbc Swahili.
Naam ni 01:00 na 1/4 Afrika Mashariki sawa na 12:00 na 1/4 Afrika ya kati habari kuu jioni hii jeshi nchini madagascar imechukua uongozi wa taifa hilo baada ya rais andry rajoelina kukimbia kufuatia wiki kadhaa za maandamano ya kupinga serikali yake na shirika la kimataifa la Msalaba Mwekundu.
Lasema zoezi la kuopoa miili ya mateka wote wa Israel waliofariki ni changamoto kubwa sana.
Vile vile serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya congo na waasi wa m 23.
Kutia saini makubaliano yanayoonekana kuwa hatua muhimu ya kukomesha mapigano mashariki mwa taifa hilo.
Hii ni bbc.