Blog.

Jambo FM Tanzania - 2025-12-21T14:00:00.573Z

Jambo FM Tanzania

--:--
--:--

Transcription

Sasa leo umepuliza pafyumu kali mno ndio maana mwanangu anakohoa na kupumua kwa shida lakini dada mbona ameanza kukohoa kabla hatujafika kwenye sherehe na nilikuwa sijakuuliza pafyum sasa ambao wameanza kupumua haraka na kwa shida hivi sikia.

Hii itakuwa dalili ya nimonia au kikohozi tu.

Hapana sikia.

Mtoto antimoni alikuwa na dalili kama hizi yule mtoto tuliyemzika mwaka jana ndio alifariki kwa nimonia kwa sababu alichoonyesha kituo cha huduma za afya ndio maana wataalam wa afya ushauri ukiona hizi dalili muwaishe mtoto kituo cha huduma za afya bado amenishtua mapema mdogo wangu nampeleka kituo cha huduma za afya sasa hivi halafu utaniambia upofu umenunua wapi ni nzuri kama mtoto wako anakohoa na kupumua haraka na kwa shida yuko kwenye hatari ya kupoteza maisha mpeleke kituo cha huduma za afya kwa matibabu zaidi tunza afya yangu ujumbe huu umeletwa kwenu na wizara ya afya.

Kupitia idara ya kinga sehemu ya elimu ya afya kwa umma chef nataka kufunga swala nyumbani kwangu je nitumie ipi h ni sola eeh swala ni sunda chagua sura swala panel na sura swala betri kwa bidhaa Original hizi zinakuwaje swala betri ni betri Original na ina moto mwingi sana kama nje imeandikwa nn 50 uwezo wake ni nn 50 kweli swala betri inadumu kwa muda mrefu sana na kuhusu suala la panel swala panel ni pale imara ina umbo kubwa na moto mwingi sana funda swala pande au inajaza? Betri kwa haraka sana hata kama kuna mawingu ahad nimekuelewa jeff nakuaminia yeah pia utapata sunda flat tv sunderland tv ni tv bora ina kioo kikubwa kama imeandikwa nchi 19 cecy kifo chake kweli ni nchi 19 sunderland tv zinaweza kutumia sola na umeme pia na inatumia moto kidogo sana lakini pia sumve imekuletea sunda sabufa sunda sabufa zina mdundo na sauti kubwa ni Original na imara sana sunda sabufa inatumia sola na umeme pia swala swala panels swala swala beatriz sunderland.

Hivi na sunda sabufa zinapatikana kwenye maduka yote ya sola nchi nzima kutafuta bidhaa za sunda zenye ubora wa kuaminika.

Kila mwisho wa mwaka masawe huwa na utaratibu wa zawadi za watoto, chakula cha sherehe na mafuta ya safari ya familia vyote huandikwa kwa mpangilio katika daftari lake dogo, lakini mwaka huu kwenye orodha yake ameongeza jambo 1 muhimu amesema sikukuu ni za furaha, lakini furaha ya kweli ni kuhakikisha familia yangu iko salama.

Hata wakati nisipokuwepo ndio maana kabla ya kuanza safari massawe yamekata bima ya maisha, gari na nyumba kutoka NIC suarez.

Masawe bima si gharama ni zawadi zawadi ya upendo na amani ya moyo zawadi ya uhakika wa kishia familia.

Awe anatabasamu si tu kwa sababu anaenda likizo bali kwa sababu anajua maisha yao yako salama inahisi c insuarence.

Msimu huu celebration wanapofika yapo ya kuhofia lakini kamwe ya usihofu kukosa zawadi kutoka jambo boksi la miji zawadi kwa ajili yako limefika na limefunguliwa na zawadi ya kwanza kukupa ni punguzo la bei ya maji ya jambo na msimu wote ukosef ratika, minzi manono maji kutoka jambo yatapatikana kwa bei ya punguzo kuanzia maji makubwa ya jambo yaliyo kwenye chupa nzuri ya ujazo wa mililita 1600 hadi maji madogo yaliyo kwenye chupa ya ujazo wa mililita 500 msimu huu wa sikukuu jambo tunakosea British.

Punguzo la bei ya maji yetu, kwa hivyo fanya kuwahi dukani sasa ujipatie ya kwako msimu wa sikukuu tunakunywa maji tuna celebrate kana jambo ndani ya boksi la siku kuu.

Huwa hivi kila wakati unaojipatia ladha ya tofauti ya jambo ice cream unafanya zaidi ya kuburudika unajeza maisha yako furaha na nguvu mwilini wazazi watoto kina mama na kila mtu hakikisha unakula jambo ice cream nitafutie ladha uipendayo hata kuifanya kuwa ndio kiburudisho chako cha kila siku kipatie jambo ice cream ya vanilla chuo crates, ukwaju strawberry na milki sheikh ili upate furaha na nguvu mara modus kili mzaha jambo zinatengenezwa kwa upendo na uvumilivu.

Dada zake zinanipa furaha isiyoweza kulinganishwa na chochote yeye jambo zimenifanya ni salary michezo.

Awe na watu wote wapendao ili nyote mfurahie utamu huu wa kipekee wa jambo aiskrimu mpate hisia na nguvu inayoleta months nzuri wakati wote jipatie ice cream za jambo kwenye duka au super market ya karibu wapo mtaani kwako ili furaha na mudi nzuri iendelee jambo ice cream ladha inayoleta furaha na nguvu jambo ice cream ice cream jamhu kaya ahah mahangi mtaalamu nami nimekuja mwanangu karibu wa shehe nikupe nini mangi.

Hata mimi nataka mtoto wa kiume nyoosha maelezo wananitaka kurarua allah ama angy usingizi medaa Tabora nasi kama ulivyoapa wengine kama unataka nini bangi na mimi nataka kampuni yetu ishini kama biashara yako siri nini allah ulikuwa wapi muda wote kuelezea hivyo tunazungushana hapa siri ni kuchagua jambo fm na sasa hivi nateleza tu na dirisha kitonga.

Waliotii ki kwa jambo fm wanaendelea kula mema ya nchi kwa kutangaza biashara zao, nasi kwa bei nafuu na hivi sasa tunaitambulisha kwako huduma ya dirisha kitonga.

Ndio ni dirisha mahsusi kwa taasisi kama vyuo shule na kampuni au taasisi za kilimo kuwafikia watu wengi zaidi kwa kutangaza na jambo fm ili kunufaika na huduma ya dirisha kitonga, hatua ya kwanza andaa ujumbe wako au tangazo lako lisilozidi sekunde 60 kisha awasiliana na wahudumu wetu kwa nambari 0753200012 na 0652648 ya 1, 1 8 na baada ya hapo.

Tukutane mjini taasisi shule chuo au kampuni yako ikishaiva kwa kuwafikia watu wengi zaidi kazi ni kwako kuichagua jambo na uendelee kuteleza na dirisha kitonga simple tu.

Mangi asante gorge la mimi nikawahi kuteleza na dirisha kitonga hivi umeshawahi kuwa na hamu ya kuchati halafu huyu unataka kuchati nini? Yaani mimi leo nimekamilika basi bwana niache na mshikaji wangu nikaandika tu wewe baba inakuwaje wa mzee baba kwema? Nambie.

Hebu ngoja kwanza bindo nikasema tena niambie kweli sikuwa na ishu ila jamaa akanijibu watu wanawaza sikukuu mzee heee nikasema kumbe ndio point nikamjibu fasta kwani msimu wa sikukuu wapi kina hapendi zaidi kakaa hakuna sehemu ya kuenjoy kama jambo zuri kanda ya ziwa jamaa akaanza kunipa details vinywaji wanyama wa kila aina wamo ndani yaani full kukodoa macho kuweka pause na kupiga nao picha michezo kwa familia hadi hivyo wako unaweza kwenda naye basi.

Msimu huu wa sikukuu ni jambo zuri Shinyanga asikose burudani ya mwaka kwa kiingilio cha shilingi 20,000 tu utafurahia huduma zote ukiwa na familia au ukiwa na washikaji enjoy msimu wa sikukuu na jambo zoo.

5.

Megaherts jambo.

Kwenye spika kwenye smartphone sikiliza jambo mambo yako fresh kila siku.