Blog.

East Africa Radio - 2025-12-19T17:00:00.587Z

East Africa Radio

--:--
--:--

Transcription

Wa utoaji wa kadi ambao utakuwa ni wa kisasa ambao kila mwana simba sasa simba inaenda kukua labda niwaeleze kitu kingine ile hela ya twenty millions iliyokuwa kwenye escrow account ikiisha itahamia kwenye akaunti za simba leo nitaanza kutengeneza faida katika sehemu ya mapato ya kadi.

Pia yataingia kwenye ndoa moment itaanza kutengeneza faida sisi ni klabu ambayo tutakuwa na pesa nyingi kuliko klabu zote kwa hiyo hili ni swala la muda tunaenda kutengeneza timu ya kisasa ambayo iko na uwazi yenye good governance yenye good governance narudia tena.

Hii ni good governance tusikubali kupotoshwa msipotoshe wana hawana changamoto ya kiuongozi ya 02:00 atarejea dakika chache zinazofuata bado tuko na mnyama simba isikilize live radioni mitandaoni na kwenye simu yako.

Ni East African radio, hii ni East African radio.

Kiasi ni kipenga safi na radio kutoka mikocheni jijini dar es Salaam.

Sasa mwisho kuna tukio ambalo lilitokea hivi karibuni hasa la mwenyekiti wa Umoja wa klabu afrikae.ca inazungumzia injinia hersi said ambaye alikuwa katika sehemu ya semina ya mabadiliko kiujumla ya clubs hasa upande wa football yeye akitoa mfano.

Ama kuna video ambayo wale pray pale ambaye kuhusiana na ishu nzima ya changamoto zikiwepo za kiuongozi japokuwa hakumtaja mnyama simba 1 kwa 1 lakini vile uliopigwa pale ama walioipa hii pale kwamba wanasimba bwana hakuipokea katika mlengo chanya viongozi.

Hawajafurahishwa na lile tukio hasa haya nasema nina yangu nini hawajapenda yeye turejee tena kwa magoli.

Akizungumzia hiyo, sinari yaani wanazungumzia unazungumzia matatizo halafu unaonyesha picha za wapenzi wake.

Mimi kwa maoni yangu kwa maoni yangu mimi basi we'll and touche veran fortune toka kwenye mtu ambaye anatoka ardhi ya Tanzania ambaye anasema mwenyekiti wa vilabu lakini anaamua kunyesha Afrika na dunia kwamba Tanzania kuna nini ajifikirie mwenyewe hicho alichokifanya alitaka kuachiwa sasa kama klabu bora ambayo iko Tanzania.

Tunaionyesha kwa dunia kwamba katika Tanzania kuna matatizo alitaka kuachia ni eeh tunasema ninalo thinking kwa sababu unafikiria kwamba hapa unaobeba ushabiki ule ushabiki ule unaubeba kuupeleka sehemu ambayo haistahili good governance haina uhusiano wowote na matokeo wale watu walikuwa wanalia kwa nini timu yao haifanyi nini? Haishindi haifanyi vizuri.

That is not the government is not your poor governance nilikuwa na kwamba kuna corruption rushwa kuna uwajibikaji vitu haviko wazi hakuna transparency tunaendesha vitu unavyojua mwenyewe hii iliyopo gari na principles za pengine hakuelewa hata epua government atakuwa kuzungumzia nini? Susan kwangu mimi niliyozoea ni kwa sababu mtu ambaye anatakiwa protect mpira wa Tanzania hufanywa na baadhi tunalifanyia kazi tuweze kusema nini? Kwa hiyo alikosea simba amekosea nchi kuna klabu hapa Afrika zina pua government hata mishahara ili kuweza klabu kutwa linashtakiwa FIFA na wachezaji linashtakiwa FIFA na makosa this kuwa gavana umeona mkataba hulipi mpaka anakupeleka fifa mpaka pale fifa hujamlipa zaidi ya miezi miwili mitatu basi kuwa gavana sehemu klabu licensing nataka mpaka timu ziwe na viwanja vya mazoezi kwa timu hazina viwanja vya mazoezi zinazunguka hawasemi kwa kweli katika hali ya kawaida sikutegemea kitu kile kifanyike na hata bodi Hatukutegemea pengine zitajumuisha mamlaka ziweze kujua kwamba hiki kinachofanyika si sawa nafikiri kama nchi pia watu wajue nafasi zao wanapokuwa kwenye nafasi fulani unapewa nafasi fulani unatoa ushabiki unafanya vitu ambavyo vinaweza kupromoti mpira wetu vikaporomoka sasa wewe mzee magoma kila siku anazungumza nayo haoni ilikuwa hiyo ni tatizo wakitoka leo wanachama 10 wanazungumza wakapiga kelele ewe tayari hiyo nilikuwa gavana ni ukweli kabisa hakufurahishwa wanajaribu kujificha lakini kila mtu anajua ni tensheni yake ilikuwa ni sisi simba, ushindani na msimba sisi tunashindana na targets kuna watu kutwa kucha.

Kila siku kila siku lazima iongeze vile apate atenshen Without ahmed kwanza usiwataje kwa sisi tuna chakula kimejaa kwenye meza vya kufanya vya maana.

Hii siyo kutafuta nani sisi tuna ajenda tunakuja nazo za maana za kuifanya simba iwe bora sisi tutashindana na Standard state na target zetu hatuwezi kukaa kutwa tuna taratibu tu hii yaani kila mtu akiamka mi sio tu live itakuwa ni litaisha tu sisi tutaweka mikakati ya kuendeleza chini kimikakati ambapo tunaona ninafaa na itakuwa ni three hundred sixty degrees timu ya mpira timu ya wanawake timu ya watoto.

Infrastructure na membership group na ingagement tunaenda kutoa tangazo tumempa jana mamlaka tangazo la gareta wa membership tangazo dairekta wa technical upya kwa vigezo vipya tunataka timu ambayo inakuwa kwenye engo zote hatutaki vitu vya propaganda propaganda tu hivi ili kesho na kesho kutwa hata tukiondoka sisi hapa anakuja mtu anakutwa na watendaji waliokamilika kuna vitu vimekamilika katika simba klabu inapiga hatua rasmi this club is going to be great sio kwa maigizo kwa kuweka malengo yake wenyewe ya kuwa na kuacha kizuri mimi sijakuona.

Usio Manchester kila siku anasema switi mugani ona wanaweka malengo yao, hiyo ndio simba ndio visheni ya simba kutakujenga simba hiyo thamani kama nimekuwa mkali samahani kama nimekuwa mkali kamalizia kabisa na hiyo tags thamani kama nimekuwa mkali kali ni mkali kwenye e huwezi kusema kwamba wamepaniki lakini tunajua hisia walikasirishwa simba kwa nia.

Kuonekana amepanic ahmed yeye ameomba radhi kuna zamani kama nimekuwa mkali kwani kuna siku ukishakuwa kwani kuna siku mwenyekiti tutaongea kipolepole.

Magoli eeh.

Ufuasi kwa nature ni kitu cha kawaida.

Tembelea kama matamko kipindi kilicho ya uwanja wa fainali kuhamishwa mkapa huenda Zanzibar mmm yaani hata magoli akiandika ukisoma maandiko yake unahisi hapa kuona nini karipio.

Yaani unavyosoma anasoma kwa sauti yake unasoma kwa sauti yake kwani crescentius nyumbani ni wapi asili yake.

Hey.

Anasema kwa maana mwenyekiti si nimemuuliza brain kuna siku ambayo niliona kwa maana ameongea kwani always mimi naona ni commanding anaongea kwa mamlaka unaweza ukasema yao they namna ambavyo huwa anaona hospitali, anasema jinsi ambavyo akiandika lazima unavyosoma kwa mazoea haya naona kama yeye hata huko tutafika mpaka contact kuna kuna wakati fulani anatoa risiti pale, anakuambia.

Wao hawana changamoto za kiuongozi mmm akazungumzia senario za uwanjani.

Naam amepewa utetezi ambao mimi mwenyewe nikikufuatilia kwa saa hizi nafikiri walikuwa wanazungumza wote bali unataja kuwakosa wachezaji muhimu vile nje ya sehemu ambayo hali mbezi zaidi ni eneo la goli kipingu.

Sasa ukifuatilia saa hizi simba msimu huu kwa hizi maana asema bi games.

Kuna gemu ambayo yule nani naitwa rangi ya qur'an ikulu Suleiman ameruhusu goli ambalo naamini kabisa ni kosa la kwani songe mkuu wa michezo cha simba hakuna goli ambaye amewahi kwa makosa yake halafu alichokisema magoli crescentius ni kwa maana ametofautisha kuna kukosa matokeo kwa maana matatizo ya uwanjani na matatizo ya uongozi na amesema kwa maana timu kukosa matokeo mazuri si matatizo ya uongozi wewe woona nina atuulize.

Uhalisia ni upi.

Mahusiano kuna uhusiano kwa mwezi huwezi kuvitenganisha uongozi bora na matokeo ya uwanjani katika lengo gani? Klabu simba ni taasisi ya mpira wa miguu mmm na inaongozwa na hao viongozi ili taasisi ifanye vizuri 1 ya kipimo tunaangalia kwenye target yao mama itasihi nini mm ni mafanikio ya uwanjani sahihi kama mafanikio uwanjani maanake utakuta kuna sababu labda kocha haukuwa mzuri si wachezaji labda hakuwa wazuri kwenye usajili au walisajili vizuri lakini kuwa ni shuhuda za posho na mishahara hayo yote ambaye atakavyotimiza ni nani ni uongozi kwa hiyo ikitokea timu inafanya vibaya.

Viongozi lazima tu.

Kuwa na hiyo connection yaani hakuna namna ambayo timu ikafanya vibaya Afrika inaweza isiwepo kwa kamisheni.

Kocha alimwajiri kocha nini? Na ambaye alitakiwa kufanya maamuzi wakati kocha inafanya vibaya ni nani ni uongozi mmm kama ni ishu ya sajili ni mbaya ambaye anataka kusajili ni nani? Ni uongozi kwa hiyo hawawezi ukikosea ni wao kama bainishi walikuwa wanadai posho au mishahara akaamua kugoma aliyetokea kuwapa posho ni nani viongozi unahusika correction ipo yaani hakuna namna ambavyo kukwepa.

Asajiliwa unajua kuna unajua hapa kuna kauli 2.

Kuna kauli 2 sawa mmm kuna uongozi kuwa mbaya kwa maana kwamba hujua picha wanayopewa simba.

Ni viongozi ambao hawana uwezo nafikiri ni kitu ambacho wao wakipambania kwamba ili jambo halipo yaani judgement inayofanyika ni kama uwajibikaji kwamba uwajibikaji na ndio maana kuwa anazungumza hapo.

Mtu anafanya presentation ya.

Good governance.

Afu mfano unatolewa mmm kwao Tanzania kama naskia vizuri kwa sababu kwenye good governance.

Ametaja hapo tafsiri yake inaweza ikawa nyingi namna ambavyo vinaendesha taasisi amegusa hapo mnavyoenda mambo ya ndani kulipa mishahara, taasisi na endaji na vitu kama hivyo si ndio mmm halafu kuna eneo la taasisi.

Kushindwa kumite.

Kabla mahitaji malengo zile targets ambapo hapo inaweza ikaja sasa kwenye eneo.

Na tusemaje ule uwezo.

Wa kufikia yale mmm mambo kwa sababu hiyo kuna mfano kama hicho za kulipa mishahara nini nini na vitu kama hivyo inaweza ikawa ni changamoto ya kitaasisi mfano kama fc Barcelona saa hizi huwezi kusema wala port ni kiongozi mbaya.

Kisa tu changamoto ambazo za kitaasisi za kitaasisi kama ambavyo vinaweza mchezaji labda mpaka uwe kufanya hivi vitu kama hivi ndio mfano kama saa hizi Real Madrid tunaona jinsi walipo hapa.

Inawezekana tatizo la muda mrefu labda kama kukomea na simba au unalala fc Barcelona ambao walipitia lakini ukiangalia saa hizi kule juu uongozi waonekana kuna jambo wanapambania lakini huku timu uwanjani naona mambo haya lakini situation kama hiyo inapatia.